Tarehe 26 April ni siku muhimu sana kwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...tutasherehekea sherehe za Muungano like never before..
Rais wetu mpendwa akishamaliza kusema ya kwake pale Uwanja wa Uhuru na kuondoka na viongozi wenzake kwenda kula ubwabwa na mvinyo laini Ikulu...sisi raia wengine kwa...
Hakika tuko kwenye 'right track( or 'lait tlack - wareva) kama asemavyo mheshimiwa Rais wetu mpendwa, Dr. Magufuli...tuongeze bidii kwenye kazi zetu za uzalishaji kila mtu kwenye sehemu yake...tutatoboa tu, haha!
Maandamano ya nini Tenaaa???( In Mzee Tupatupa's voice).
Lkn tu isije ikafika mahali CRDB wakakwambia tawi lao Chato halina wateja wa kutosha, hapo lazima watakujua we ni nani kama ulivowaambia waandamanaji leo...hongera sana Mr.President!
Hivi hawa watu sijui ni wagonjwa wa akili...kwa hiyo Mwigulu anaona sasa kuko shwari? Na hajasikia kelele zikipigwa?
Kama kuko shwari kwanini kafanya hiyo interview? Ina maana hata hayo maswali ya mwandishi yeye hajaona kama ni kelele? Kazi ipo
Pamoja na ushindani mkubwa na vuta nikuvute ya siasa za Kenya, lakini hawa wenzetu huweka maslahi ya Taifa lao mbele na maslahi yao binafsi pembeni...ni leo hii tarehe 9/3/2018, Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya na Kiongozi wa NASA Bwan.Raila Odinga wanakutana kwa mazungumzo, sisi kinatushinda kipi...
Kada wa CCM Bi Shyrose Bhanji leo katika kusherehekea Siku ya Wanawake duniani amewatumia pongezi za kipekee Mama Janeth Magufuli na Mama Samia kwa MOYO WA UVUMILIVU...nafikiri ameacha tu kusema yeye yangemshinda..
Mpaka umefikia kuandika Ujumbe wako, basi ujue huyo mtu unayemzungumzia(kama ni mtu kweli) si mtu wa kawaida...mtu hatari yan, unayoyaandika ni kama unatamani angekuwa tofauti,
Pole sana kaka Ben, popote ulipo Mungu akurehemu na akufanyie kisasi...huyu dikteta sasa hivi kawa shetani kabisa ameona kuteka haitoshi sasa hivi wapambanaji wenzio wanapigwa risasi mchana kweupe na kukatwa katwa mapanga...
Lissu kabla hajaumizwa alituambia the mad man is not thinking...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.