...... Hapana bhn huo uongo mkubwa sana LMV unajiajiri vzr saana mfano dingi kajiajiri na kasoma LMV..... ni nyie tuh na fikra zenu na watu kibao waliosoma LMV na wapo mjini wanadunda tuh
Naomba kuuliza swali ....... hyo bodi ni wale walio soma procurement and supply cndio... Asa masomo yao yanchukua mda gani hasa kwa aliyesomea diploma ? yaan ni kwa mda gani mpk ana maliza ?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.