Recent content by Khan Medard

  1. Khan Medard

    Kama hutasoma kozi hizi unapoteza muda wako

    ...... Hapana bhn huo uongo mkubwa sana LMV unajiajiri vzr saana mfano dingi kajiajiri na kasoma LMV..... ni nyie tuh na fikra zenu na watu kibao waliosoma LMV na wapo mjini wanadunda tuh
  2. Khan Medard

    Msaada kuhusu gharama za kujiunga na bodi ya PSPTB

    Naomba kuuliza swali ....... hyo bodi ni wale walio soma procurement and supply cndio... Asa masomo yao yanchukua mda gani hasa kwa aliyesomea diploma ? yaan ni kwa mda gani mpk ana maliza ?
  3. Khan Medard

    Division iii-15 naombeni msaada!!!

    hiyo pre entry ina maana gan ? tuelmishane kdg
Back
Top Bottom