Recent content by Keryo

  1. K

    SoC02 Biashara ya nafaka (mahindi) nje ya nchi ni fursa muhimu, kuzuia ni kuikataa fursa ambayo ni adimu kuipata

    Karibu kwa mjadala wadau na naomba kura yako ili andiko lifikie watu wengi na kubadili mtazamo wa watu wanaofikiri kuuza mahindi nje ya nchi ni kumuongezea mtanzania maisha magumu kwa maana ya mahindi kupanda bei badala yake waone ni fursa ya kuchangamkia na kulima zaidi. Asante.
  2. K

    SoC02 Biashara ya nafaka (mahindi) nje ya nchi ni fursa muhimu, kuzuia ni kuikataa fursa ambayo ni adimu kuipata

    MAANA YA NAFAKA. Nafaka ni mbegu zinazotokana na mimea aina ya nyasi zilimwazo mashambani kama mahindi, mtama, mpunga, ngano na hutumika kama chakula kwa ajili ya binadamu na hata mifugo. Kumekua na kasumba ya mara kwa mara ya serikali ya Tanzania kupiga marufuku nafaka hasa mahindi kuuzwa nje...
Back
Top Bottom