Karibu kwa mjadala wadau na naomba kura yako ili andiko lifikie watu wengi na kubadili mtazamo wa watu wanaofikiri kuuza mahindi nje ya nchi ni kumuongezea mtanzania maisha magumu kwa maana ya mahindi kupanda bei badala yake waone ni fursa ya kuchangamkia na kulima zaidi. Asante.
MAANA YA NAFAKA.
Nafaka ni mbegu zinazotokana na mimea aina ya nyasi zilimwazo mashambani kama mahindi, mtama, mpunga, ngano na hutumika kama chakula kwa ajili ya binadamu na hata mifugo.
Kumekua na kasumba ya mara kwa mara ya serikali ya Tanzania kupiga marufuku nafaka hasa mahindi kuuzwa nje...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.