Habari za leo wapendwa, naomba msaada wa dawa ya ganzi, Nina mwaka Sasa mwili una ganzi kuanzia kiunoni Hadi kwenye nyayo, nimetumiwa dawa za hospitali hakina za kienyeji hakina, ganzi iko pale pale. Msaada please
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.