VIPIMO KWA MTU MWENYE TATIZO LA MIGUU KUWAKA MOTO NI HIVI:
1. Electromyography(EMG)- hiki ni kipimo kinachochunguza utendaji kazi wa misuli.
2. Nerve Conduction Test- kipimo hiki kinachunguza utendaji kazi wa mishapa ya fahamu ya kwenye miguu.
Pia kuna VIPIMO VYA MAABARA ambavyo vyenyewe...
MIGUU KUWAKA MOTO
Hisia za kuwaka moto kwa miguu yako zinaweza kusababishwa na uharibifu wa mishipa ya fahamu ya kwenye miguu, jina la kitaalamu tunaita Neuropatahy.
Ingawa matatizo mengi ya kiafya yanaweza kusababisha miguu kuwaka moto, ugonjwa wa kisukari unashikilia usukani.
Sababu nyingine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.