Recent content by Kant Wezy

  1. Kant Wezy

    Mwanangu hawezi kukaa naomba ushauri wa matibabu

    Umesema mtoto ana shida gani? Sent using Jamii Forums mobile app
  2. Kant Wezy

    Tatizo la miguu kuwaka moto (neuropathy): Ushauri, Kinga na Tiba

    VIPIMO KWA MTU MWENYE TATIZO LA MIGUU KUWAKA MOTO NI HIVI: 1. Electromyography(EMG)- hiki ni kipimo kinachochunguza utendaji kazi wa misuli. 2. Nerve Conduction Test- kipimo hiki kinachunguza utendaji kazi wa mishapa ya fahamu ya kwenye miguu. Pia kuna VIPIMO VYA MAABARA ambavyo vyenyewe...
  3. Kant Wezy

    Tatizo la miguu kuwaka moto (neuropathy): Ushauri, Kinga na Tiba

    MIGUU KUWAKA MOTO Hisia za kuwaka moto kwa miguu yako zinaweza kusababishwa na uharibifu wa mishipa ya fahamu ya kwenye miguu, jina la kitaalamu tunaita Neuropatahy. Ingawa matatizo mengi ya kiafya yanaweza kusababisha miguu kuwaka moto, ugonjwa wa kisukari unashikilia usukani. Sababu nyingine...
Back
Top Bottom