Ni usiku wa manaani japo watu wengi wanapenda kuita usiku wa manane, wahuni wamelegeza kwa kuita night kali, ndani ya jiji la Amos makala heka heka zikiwa zinaendelea, huku baridi iliyoambatana na manyunyu ya mvua kwa mbali zikiwa zimefunika jiji la Dar es salaam. Nchi ilikuwa imemezwa na giza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.