Habari za muda mteja wangu ?
Kiwanja namba 254 na 256 vinauzwa ,
Vyote viko mtumba -Dodoma .
Umbali ni mita 200 kutoka barabara ya lami ya dodoma na dar es salam.
Gharama yake ni 9million kwa kila kimoja
Tupigie 0654818198
Unataka nini tena?
Kiwanja kipo kigamboni - Mahenge .
Ni 4km kutoka ferry kigamboni .
1 sqm ni tsh 10000 .
Viko viwili cha 3 mil na 4mil tena ulipa kwa mkopo wa miezi 18
Tunauza viwanja maeneo ya cheka (kijaka) kwa bei ya shilingi 3 million au 4 millioni ,ukubwa kuanzia 558 hadi chenye 740.9
-Umbali kutoka ferry mpaka cheka ni 20 km
-Mradi una umeme,Makazi, shule , hospitali
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.