Habari zenu,
Nina mtoto wa mwaka na miezi mitatu alichelewa kukaza shingo kwa sasa ndio anatambaa ila kwa makalio. Ila napatwa na wasiwasi ninapomsimamisha shingo yake anaitupa kwa nyuma. Nifanye nini ikae sawa?
Ila anapokaa anachezea vitu vizuri tu na kuvifata hata kujaribu kusimamia vitu...
Msaada jamani😒
Nina mtoto wa miezi 9 na week 3 sasa hawezi kaa kwa kujitegemea kwa muda mrefu akikaa kidogo anaanguka ijapokuwa yupo active kuanzia mikono kushika shika vtu na miguu kuitupa na kuikunja ndio zaidi
NB:alichelewa kukaza shingo nikajithd na mazoez niliyoelezwa ila nikaambiwa akifika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.