Tunafunga cctv camera kwa bei ndogo..
Majumbani..
Sehemu za starehe..
Sehemu za ibada..
Mashambani..
Store..
Dukani...
Tupo Ilala - Machinga complex - DSM
0718290779
Kama una Computer mbovu na unahitaji fundi bingwa asiyeshindwa nichek. Pia tunauza Accessories za Computer aina zote. Fundi anaweza kuja ulipo kufanya kazi.
Office ipo ILALA - DSM
0718290779
Sisi ni Mabingwa wa kufanya matengezo kwenye aina zote za Printer.
Lete ofisini kwetu au fundi anaweza kuja ulipo.
Tunapatikana Ilala-Machinga Complex, DSM.
Simu: 0718290779
Habari wadau!
Mimi ni mkazi wa kisemvule iliyopo mkoa wa Pwani.
Tuna changamoto ya Foleni kuanzia mbagara rangi 3 hadi kongowe, hii inatokana na ufinyu wa bararaba (nyembamba) kuanzia kokoto hadi kongowe.
Barabara ya mwendokasi imeishia hapo kokoto, ila kuendelea huko mbele ni single road...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.