Recent content by Joseph Kakolo

  1. J

    JamiiForums Tanzania Jamani hivi nini kinasababisha mtoto mchanga kutokwa na damu puani na mdomoni na hatimae kupoteza maisha? (Kufariki)

    Sawa kaka, ila ni mara ya 3 sasa hii, na sina mtoto bado toka 2019 tunapata mtoto anakaa siku 3 hadi 7 anafariki, yaani kama mkosi hivi aisee 😭😭
  2. J

    JamiiForums Tanzania Jamani hivi nini kinasababisha mtoto mchanga kutokwa na damu puani na mdomoni na hatimae kupoteza maisha? (Kufariki)

    Alikuwa anasiku 3 tu toka azaliwe, samahani nilikuwa nipo sehemu ambayo hakuna Internet kwa wiki 2 hivi ndo maana nimechelewa kujibu, nilikuwa kwa babu kijijini
  3. J

    JamiiForums Tanzania Jamani hivi nini kinasababisha mtoto mchanga kutokwa na damu puani na mdomoni na hatimae kupoteza maisha? (Kufariki)

    Alianza kulia tu wakati wa usiku, mama yake akawa anamnyonyesha anakitulia baadae ananza tena kulia, imefika saa 11 alfajiri mtoto akaanza kama kupiga chafya, kapiga chafya ya kwanza, alipopiga chafya mara ya pili tu damu zikamtoka puani na mdomoni, tunaenda Hospital tunafika mtoto akiwa...
  4. J

    JamiiForums Tanzania Jamani hivi nini kinasababisha mtoto mchanga kutokwa na damu puani na mdomoni na hatimae kupoteza maisha? (Kufariki)

    Jamani hivi nini kinasababisha mtoto mchanga kutokwa na damu puani na mdomoni na hatimae kupoteza maisha? (Kufariki).
Back
Top Bottom