Recent content by jomabe

  1. J

    Msaada: Hivi vidonge sio ARV?

    Njia mzuri ni kwenda kumfuata anaumwa nini? Kama ni Hepatatis B unaambukizwa mpaka kwa jasho so matibabu yake ni hivi vidonge na unatumia pia mpaka unaingia kabulini Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
  2. J

    Msaada: Hivi vidonge sio ARV?

    Dr mshauri umeeleza mengi sana lkn wengi wanashidwa kujua kuwa ARV doze inatumika kwa magonjwa mengine kama Hepatatis B ni ugonjwa mbaya unapunguza sana kinga ya mwili pia inaambukizwa kwa njia ya ngono mpaka jasho na kwa sasa rate yake ni kubwa sana hapa Tanzania ni bora ukimwi kuliko huu...
Back
Top Bottom