Recent content by JOHN VENAS

  1. J

    Tiba ya mafua ya muda mrefu na kikohozi

    Habari za hapa ndugu zangu. Mimi nina changamoto moja, mke wangu anasumbuliwa na mafua yasiyopona na koo linawasha tangu mwezi wa sita, nifanye nini kumsaidia? Naomba ushauri kwa anaye fahamu njia ya kutibu hili tatizo.
  2. J

    Nasumbuliwa na maumivu ya upande wa kulia eneo lote la kifua, mbavu na mgongo

    Asante sana kwa ushauri mzuri nitalifanyia kazi hili asante
  3. J

    Nakaribisha maswali kuhusu Tiba / Dawa

    NASUMBUKIWA NA MAUMIVU hayo maeneo yote na niupande mmoja wa kulia mahali panapo onyesha namba 01 ndipo tatizo lilianzia na kusambaa maeneo mengine Palianza kuwasha na kuuma kwa ndani ila mtu akinipigapiga mgongoni Eneo linalo uma panapoa naomba ushauli nifanyeje Niupande wa kulia nikivuta...
  4. J

    Nasumbukiwa na maumivu ya upande wa kulia wa kifua na mbavu

    Nahisi maumivu UPANDE wa KULIA wa KIFUA na mbavu kiujumla UPANDE wote wa kulia wa KIFUA ,mbavu na mgongo na KIFUA vinauma ila maumivu yapo sehemu ya nyumba ya ubavu na chini fua nikijaribu kuvuta pumzika nyingi kuijaza kifuani maeneo ya mbavu na kwa ndani nahisi Kama Kuna kitu nakitinesha ila...
  5. J

    Nasumbuliwa na maumivu ya upande wa kulia eneo lote la kifua, mbavu na mgongo

    Ndugu zangu naitwa John Venas nasumbuliwa na maumivu ya muda mrefu ya UPANDE mmoja wa KIFUA na mbavu nilifanya Vipimo vya Exray bila matokeo yoyote lakini Sasa tatizo linasogea na linahamia na kuzidi kuenea Ukisoma hizo namba 01 ndipo tatizo lilipo anzia nilianza kuhisi maumivu UPANDE huo...
Back
Top Bottom