Tanzania ni nchi yenye eneo kubwa sana kulinganisha na nchi nyingi afrika na duniani lakini ni nchi
ambayo inatumia sehemu ndogo sana yae neo lake kwaajili ya kilimo cha chakula na kibiashara.
Kutokana na taarifa ya (Global yield Gap atlas) asilimia 46 ya eneo la Tanzania lina rutuba na linafaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.