Wew changudoa huwez kujua ugumu wa maisha, wew kazi ni kugawa nyuma tu unajipatia kipato kisha unakimbilia kwenye kibodi kuandika kinachofanana na kazi au mtaji wako "mkndu wewe!! " Bibi yangu muuza vitumbua na karanga anaujua ukweli. Hata yeye mwanzon alifurah sana kuskia watu wamefukuzwa...
Ok, tufanye mtu alinunua kipande cha ardhi kwa milion 7 mwaka 1990. Leo 2017 anakiuza, unataka auze 7milion? Unajua hiyo milion 7 ya enzi hizo ni sawa na sh. Ngapi leo, pesa kila leo inashuka thaman na kipimo kizuri cha kushuka thaman angalia uwezo wa kupurchase hasa vyakula na huduma...
Ndg, soma kwa makini uzi, hasa pale chini, mleta mada amekiri kuwa kikwete alikuwa na madhaifu mengi, ila si kama ya huyu wa sasa. Nashindwa kuaminj kama hukuona kipengele hiki ama ni umeamua kujipunguza tu akili.
Usilazimishe kibwagizo cha pogba kutetea wanyonge, huko kijijin kwetu kabale-simiyu hawataki hata kumuona huyo mwigizaji, ambaye analalamika kila kukicha utadhan hana mamlaka ya kubadilisha mambo, kazi yake analalamika mbele ya wananchi, sijui anataka apigiwe kura awe katibu mkuu UN ndipo...
Endelea kujifariji na takwimu za gazeti la uhuru. By the way mna mkakati gani zaidi wa kummaliza lissu baada ya huu kufeli?
Sent using Jamii Forums mobile app
Uzuri wenu ni kwamba akili mmeacha kwenye makabati ya polepole lumumba, ni viungo tata ndivyo vinafanya kazi. Hata wewe ukienda kuchukua akili yako utakuta inashabihiana na nafsi yako kukiri kuwa jamaa anapendwa. Poleni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwan Lissu kawa wa kwanza kuonewa nchi hii? Huyajui matukio ya uonevu yaliyolitangulia hili? Masaburi na tumbo ndivyo vinayokufikirisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila nimejua watu wana akili sana. Wako kimya kumbe wanamchora tu huyo pogba, yeye anajiona winner ili hali anapiga ngoma na kucheza mwenyewe. Itabidi abadilishe mikakati ya kampeni ya uchaguzi aliyokwisha kuianza. Hii imebuma
Sent using Jamii Forums mobile app
Walidhani wamekwisha kumchafua na propaganda ya kukosa uzalendo.... Hawajaamini kuona watanzania wanampenda na kumuona mzalendo kuliko pogba anayependa vyombo vya habari.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.