Recent content by jacob kipesha

  1. jacob kipesha

    SoC01 Maamuzi ya Viongozi wetu na madhara yake kwa Taifa

    Leo naegemea katika vipengele vya kushusha kodi katika vileo na kupandisha bei katika mafuta na kuongeza makatato katika miamala ya fedha inayofanyika kwa simu. Jambo hili nimekua nikilitafakari sana hata sija waelewa viongozi wa taifa hili kwanini wanalinakabidhi taifa letu kwa ibilisi wazi...
  2. jacob kipesha

    SoC01 Viongozi Walevi na Maamuzi ya Bajeti ya 2021/2022

    ok sawa ntaiweka kwa ufupi pia
  3. jacob kipesha

    SoC01 Mwanafunzi Bora Chuo Kikuu Mzumbe aliyejiajiri kwa kukusanya na kubeba taka na kufanikiwa

    kwa maelezo hayo nakusihi nunua kigari kidogo kwanza ndicho kitakuletea gari kubwa ya taka usipendelee mikopo yaweza kukurudisha nyuma jitahidi kwanza kusimama na mtaji huo ulionao.
  4. jacob kipesha

    SoC01 Viongozi Walevi na Maamuzi ya Bajeti ya 2021/2022

    Habari Mpendwa msomaji wa JamiiForums, Leo nimeona nitoe uelewa wangu huu ili niwashirikishe jamii ya kitanzania, hasa wapenda maendeleo na wale wanao tamani kuiona Tanzania ikikua kiuchumi, kutoka hapa tulipo, yaani uchumi wa kati wa chini, Nakwenda uchumi wakati wa kati hadi wa juu. Suala la...
Back
Top Bottom