Mimi nimemuelewa tofauti na mtoa mada. Amemaanisha wenyeji wa dar ni wazaram ila yeye mpira una muweka dar japo asir yake sio dar. Pia ameponda kuwa wa familia ya wachezaji mpira sio sababu ya kijua mpira ndio.akatoa mifano ya kuiahi karibu na msikiti au kanisa sio.kujua dini.
Nimtazamo tu kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.