ni kweli ila kuna inchi kama southafrica ambayo yenyewe haitumii adhabu za vipoko kujenga nidhamu kwa wanafunzi na bado inafanya vizuri kielimu na kinidhamu so kama watanzania tunamengi ya kujifunza
ila hata hilo wazo lako linafaa kwa kuanzia
Ni kwa muda sasa adhabu za viboko zimekuwa zikitumika mashuleni kama njia ya kuwa-adabisha wanafunzi, huku ikiaminika kuwa kupitia kuwa adhibu watoto kwa kuwachapa fimbo husaidia kuongeza utii mashuleni hali inayofanya makosa ya utovu wa nidhamu kupungua na kuongezeka kwa nidhamu darasani. Jambo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.