c
NA ISMAIL MAYUMBA
Dunia kiganjani ni msemo wenye kumaanisha kuwa unaweza kuimiliki dunia na kuiona yote kiganjani mwako kutokana na ukuaji wa utandawazi duniani na kuzidi kupunguza ukubwa wa kuelezea utandawazi kwani zamani walikuwa wanasema dunia imekuwa kama kijiji ila saivi dunia imekuwa...
Na ISMAIL MAYUMBA
Kundi la vijana wakiwa kwenye mgahawa ambao ulio wazi kiasi cha wapita njia kuwaona. Vijana wakiwa wanakula chakula na kufurahi na hata pale walipotosheka na chakula bado waliagiza kingine na kukichezea. Mzee akapita akiwa na mkongojo wake unaomsaidia kutembea. Akawaona na...
ISMAIL MAYUMBA
Watu wawili wakiwa wameianza safari ya baharini, wakiwa kwenye jahazi na safari yao ikigharimu miaka yao tisa katika kuishi. Sio kama awali bali saivi bahari ina machafuko na vimbunga vya kila aina na mawimbi yanayotisha. Ikafika kipindi wakaanza kusikia njaa na kwa bahati...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.