Recent content by hustler Tz

  1. H

    JamiiForums Tanzania SoC01 Mtanzania yeyote, hata asiye na Elimu ni muhimu ajifunze lugha ya Kiingereza

    Such a good discussion guys!
  2. H

    JamiiForums Tanzania SoC01 Mtanzania yeyote, hata asiye na Elimu ni muhimu ajifunze lugha ya Kiingereza

    Huyo ameamua tu kuumiza watu. Hahaha
  3. H

    JamiiForums Tanzania SoC01 Mtanzania yeyote, hata asiye na Elimu ni muhimu ajifunze lugha ya Kiingereza

    Hongera sana kwa maoni mazuri. Watu wameaminishwa ujinga kuwa kiingereza ni ukoloni..
  4. H

    JamiiForums Tanzania SoC01 Mtanzania yeyote, hata asiye na Elimu ni muhimu ajifunze lugha ya Kiingereza

    Ni kweli kabisa..umetoa mfano hai kabisa. Nilishawahi kukutana na mama mmoja akaniambia ameshindwa kufanya biashara zake kimataifa kwakua hajui kiingereza japo ana ujuzi mzuri tu wa hizo bidhaa.
  5. H

    JamiiForums Tanzania SoC01 Mtanzania yeyote, hata asiye na Elimu ni muhimu ajifunze lugha ya Kiingereza

    Kutokujua kiingereza kwa karne hii ni kujiweka katika giza kubwa sana.
  6. H

    JamiiForums Tanzania SoC01 Mtanzania yeyote, hata asiye na Elimu ni muhimu ajifunze lugha ya Kiingereza

    Ndio. Kiingereza ni lazima kukijua kwasasa.
  7. H

    JamiiForums Tanzania SoC01 Mtanzania yeyote, hata asiye na Elimu ni muhimu ajifunze lugha ya Kiingereza

    Habari zenu wanajukwaa la Story of change. Katika uzi huu nataka kuelezea ulazima wa kujifunza lugha ya kiingereza kwa mtanzania hata asie na elimu kubwa. Hili suala huwa haliongelewi kabisa na kumekuwa na upotoshaji mkubwa sana kuhusu lugha ya kiingereza. JE, HUO UPOTOSHAJI UPOJE? Hapa nchini...
Back
Top Bottom