Huyu Prof Mjanja Mjanja mache aendlee na tabia zake ukisikiliza ile hotuba ya Comrade Polepole ina muhusu 100%, Kama ni Mimi hata form ya Ubunge sitachukua unaweza jikuta unakosa vyote, Hawakukosea waliosema mtaka mtaka mbili kwa pupa………
Hana jipya huyo Mbowe Unafungaje sehemu inyotegemewa na Tanzanja kwa 80%. Anataka Tanzania ipambane na Ajenda mbili Corona + Uchumi ili wapate Ajenda ya Kisiasa? Hao Wanaohoji kwanini wasijioji wao kwanini watu wamekufa sana ukiloganishwa na China 😂
Kudeal na Corona kunaanza na kushughulikia wataalam wazembe, Acha kupotosha wewe jitihada zote za serikal ikiwemo kupeleka Ndege Madagascar hauoni tuu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.