Heshima kwenu wakuu!
Nimehama kikazi kwenda mkoa mwingine na sina msimamizi mwaminif wa kumwachia hivyo nimeamua kuliuza.
Liko kwenye hali nzuri, kitambaa na stick ziko poa na eneo lina wateja wengi nimelilipia kwa miezi sita. Ukinunua unabaki kumweka msimamizi tu kwa kuwa kila kitu kipo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.