Mkuu matatizo yangu hayajafikia huko unakodhani. tatizo langu nikitaka kusoma au kuandika ni hadi nisogelee kitu karibu hata simu pia yaani kama unavyomuona albino anavyotumia simu kwa kuisogeza karibu na uso. nje ya hapo natembea vizuri na kufanya mambo yangu kama kawaida.
Mkuu ulipimwa damu? mimi pia nilipimwa nikaambiwa nna damu kidogo, katika maelezo niliyomueleza daktari ni kuwa si mtumiaji mkubwa wa maji, nikaandikiwa dawa moja ya maji na vidonge nikatumia huku nikishauriwa kula mboga za majani kwa wingi na kunywa maji mengi, tena bora wewe utakuwa umewahi...
Alikuwa anasumbuliwa kwa namna ya kutoona mbali au macho kuuma? je unaweza kuniambia alitibiwa mwaka gani na kwa bei gani ili nikadilie kabla ya kumtafuta?
Mkuu Ukwaju miwani natumia lakini hata sasa, na hata bila miwani nafanya shughuli zangu ila ni ukaribu zaidi, mfano naweza kusoma na kuandika chochote ila ni hadi nikisogelee kwa ukaribu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.