Tanzania ni nchi huru ambayo inaongozwa kwa utawala wa Sheria kwa kuzingatia demokrasia ,ambapo viongozi hupatikana kwa kuchaguliwa na wananchi kila baada ya miaka mitano,akiwemo raisi,wabunge,na madiwani.
Nchi ya Tanzania inapita katika Sera mbalimbali katika kila awamu ya uongozi ,lengo tu...