Kwa anayejua tiba nyingine maana nilikuwa nasumbuliwa na tatizo la kukosa hedhi, nikaenda hospital nikaambiwa nipigie nyutrosound nikakutwa Sina tatizo dkt.
Akaniambia itakuwa mayai yamezubaa akanipa dawa ya kupevusha mayai, dufasto na vitamin E nitumie ndani ya miezi 3,mwezi 1 wa kwanza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.