Tafakari juu ya kijiji chenye mashine ya kusaga moja, bomba ya maji moja, duka la kijiji ni moja, hospitali au zahanati ni moja, basi linalounganisha miji na kijiji ni moja na pengine vyote hivyo ni mali ya mtu mmoja. Pengine nisieleweke sana kwa sasa, zamani kidogo ilikua kawaida, na kadri...