Tatizo unakurupuka tu kujibu ndugu umeambiwa shamba lina miti zaidi ya 4000 na hapo kuna vititia na Lina acre 14 kwaio ulitaka iuzwe miti bila ardhi? Kwenye biashara kama hizi watu hawakurupuki shamba limefanyowa evaluation na wataalamu.
And by they it’s clear kua Haya sio mambo yako kwaio ni...
Habari,
Shamba la miti (mitiki) LINAUZWA,
heka 14 na nusu
Miti: 4000 na zaidi yenye umri wa miaka 14
Bei: 500m miti elfu 4000 na kuendelea
Mahali: Tanga, Muheza kijiji cha kiwanda
Document: zina process manispa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.