MABADILIKO KATIKA SHULE ZA MSINGI ZA KATA KUTUMIA LUGHA YA KIINGEREZA Katika dunia ya sasa nchi nyingi watoto na vijana wanaenda shule kujifunza mambo mbalimbali watakayoyaitaji kwa maisha Yao ya baadae, shule ni sehemu ambayo watu hujifunza mambo mengi ambayo huwasaidia katika kuyakabili maisha...
Habari zenu wote natumai mpo salama.
Mimi ni binti nileyenusurika kupata tohara (kukeketwa), katika kijiji chetu au kabila letu kuna utamaduni wa mtoto wa kike(msichana) kukeketwa, wao wanamtazamo kuwa mtoto wa kike(msichana) akishapata tohara anakuwa ni msafi , analeta hadhi katika ukoo...
UTANGULIZI: 🔖Hivi sasa dunia 🌎imeangaza na kutumia teknolojia mbalimbali katika nyanja tofautitofauti ili kuweza kurahisisha mambo mbalimbali kidijitali💻, teknolojia sasa inafanya watu kujipatia kipato, ujuzi na vumbuzi mbalimbali kutokea kwa kundi la watu au mtu binafsi duniani kiujumla zamani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.