Recent content by Habibu hamadi haji

  1. Habibu hamadi haji

    SoC02 Kiswahili kiwe ni ngao Tanzania

    Ni kweli kabia, Waswahili lazima tusimamie lugha yetu kwa ari.
  2. Habibu hamadi haji

    SoC02 Kiswahili kiwe ni ngao Tanzania

    Ni kweli ifike wakati hata tikeli za meli za Tanzania ziandikwe kwa kutumia ngao ya KISWAHILI kama lugha kubwa yenye hadhi.
  3. Habibu hamadi haji

    SoC02 Mshangao katika haki

    UTANGULIZI Neno 'HAKI' ni changamani ambalo linahusiana na namna ambavyo mtu anapata jambo analostahiki bila ya kikwazo chochote, na neno 'MSHANGAO' Linamuangazia mtu ambae ameshindwa kuamua baada ya mawazo yake kushindwa kuthibitisha baina ya vitu viwili ambavyo kuaminika kwake ni vigumu au...
  4. Habibu hamadi haji

    SoC02 Kiswahili kiwe ni ngao Tanzania

    UTANGULIZI Nifaraja kwangu na Waswahili wote katika mwambao wa Afrika Mashariki hata wale wapenzi wa Kiswahili ambao watasoma andiko hili tena kwa kutumia hicho hicho Kiswahili.kwa sasa Kiswahili hatuwezi kukifasiri kwa ukubwa wake kwani kina ithibati ngingi ambazo zinakipambanua na kukifanya...
  5. Habibu hamadi haji

    SoC02 Matokeo ya Kidato cha Nne lazima yachunguzwe

    UTANGULIZI. Ni miaka mingi sasa, kuna ukakasi katika mfanano wa Matokeo ya Kidato cha Nne na Sita, Licha ya kuwepo mfanano huo kuna Utofauti wa Matokeo hayo baina ya Skuli na Skuli, wilaya na wilaya, Mkoa na mkoa hata katika ngazi ya Taifa ambapo kuna baadhi ya Skuli zinaonekana kung'ra huku...
Back
Top Bottom