Unaokoa freight cost muda pia utapata gari lako ndani ya siku tatu hadi nne, utakoa gharama fula ndogo lakini ushuru mkuu.
Mambo ya ajali na ujambasi sio kweli.
Custom ndio hao TRA ukipita bandarini wapo ukipita boda wapo wanatumia nfumo moja labda utapata unafuu kama ifutavyo.
1.Gari likaa mwezi na zaidi bahari ukitumia njia ya ya barabara ni siku tatu hadi nne Gari liko boda.
2.Meli ikifika bandarini uchukua zaidi ya siku sita baada kushusha na na...
Mkuu utaratibu ndio huo,ingia jisajili fungua thread yako tuambie unahitaji kitu gani utahudumiwa,website zote aziwezi fanana nana ya be forward kwasabu huduma zinatofautiana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.