Nimetumia Dawa Ya fluconazole ,tube za kupaka lakini Wapi ila siku hizi mbili nimeanza kuona vidonda kwa korodani vina majimaji sijajua nataka nirudi tena hospital
Habari Ndugu,
Mara nyingi nimekuwa nasumbuliwa na muwasho kwenye kichwa cha Uume , Nikipima mkojo naambiwa fangasi nyingi kwenye mkojo. Je, Dawa yake nini?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.