Habari zenu Wakuu?
Naomba kupata updates za bei ya tangawizi mwaka huu sokoni na pia kama kuna mdau humu ni mnunuzi au anaweza kunionganisha na wanunuzi wa uhakika.
Shukrani sana
Habari zenu WAKUU?
Naomba kupata updates za bei ya tangawizi mwaka huu sokoni na pia kama kuna mdau humu ni mnunuzi au anaweza kunionganisha na wanunuzi wa uhakika.
Shukrani sana
Shukrani kwa update Mkuu. Tangawizi yangu bado iko shambani, matarajio yangu kuitoa kwa ajili ya kuuza mwezi wa sita mwishoni au wa saba. Nimelima kekari kama 2 na nusu, na nategemea kuvuna mpaka tani 10 na kuendelea.
Shukrani kwa update Mkuu. Tangawizi yangu bado iko shambani, matarajio yangu kuitoa kwa ajili ya kuuza mwezi wa sita mwishoni au wa saba. Nimelima kekari kama 2 na nusu, na nategemea kuvuna mpaka tani 10 na kuendelea.
Habari zenu?
Naomba kupata updates za bei ya tangawizi mwaka huu sokoni na pia kama kuna mdau humu ni mnunuzi au anaweza kunionganisha na wanunuzi wa uhakika.
Shukrani sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.