Ikawa furaha kwa wazazi wote wawili kumpata mtoto wa kiume. Ikawa ni furaha zaidi kwa kuwa walimsubiri mtoto wa kiume kwa miaka mingi kwa hamu na shauku kubwa. Wakazipiga nderemo na vifijo kuuona uso wa mtoto wao wa kiume kwa mara ya kwanza. Maskini ya Mungu hawakujua ya kuwa kuna mengi...
😂😂😂😂Kwa iyo wewe utaki ela, lakini pia wazo lako ukilitoa moja kwa moja litakua na mantiki zaidi na pia utakua na nafasi kubwa ya kulitetea na kulisimamia kuliko yule unayemwandikia,ila yote katika yote pamoja sana Ncha Kali 🤝🤝
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.