Recent content by Gerco

  1. G

    Computer4Sale Laptop hpfolio 9480 inauzwa

    Nimetoa 100k mkuu karibu, sema hyo bei sio fixed inapungua
  2. G

    Computer4Sale Laptop hpfolio 9480 inauzwa

    Ram: 8gb Hdd: 500gb Processor : Coi5 Battery mbovu (haina tatizo jingine) Bei: Tsh. 550, 000/= Phone : 0764232348 Location : Dar es Salaam Exchange allowed with any dell laptop
  3. G

    Wauza smartphone tukutane hapa

    Huawei y9(2019) inauzwa Ram :4gb Storage : 64gb Android Version :9 Condition: clean(haina tatizo lolote) Bei: Tsh. 330, 000/= Phone # :0764232348 Location: Dar Es Salaam
  4. G

    Plot4Sale Kiwanja cha makazi kinauzwa maeneo ya Chanika Mwisho - Dar Es Salaam

    Haya haya timiza ndoto ya kuitwa mama au baba mwenye kiwanja, kanyaga twendeee
  5. G

    Plot4Sale Kiwanja cha makazi kinauzwa maeneo ya Chanika Mwisho - Dar Es Salaam

    Swali zuri sana mkuu, sema nakushauri maswali mengine kama haya uwe una jaribu kuiuliza Google, kuwa nautamaduni huo Google haishindwi kirahisi
  6. G

    Plot4Sale Kiwanja cha makazi kinauzwa maeneo ya Chanika Mwisho - Dar Es Salaam

    Jipatie kiwanja kwa bei nafuu kabisaaa. Ukifika chanika mwisho kwenda kukiona kiwanja ni bure kabisa.
  7. G

    Plot4Sale Kiwanja cha makazi kinauzwa maeneo ya Chanika Mwisho - Dar Es Salaam

    Wikiendi ndo hii ukifika chanika leo unaopelekwa kukiona kiwanja bure kabisa
  8. G

    Plot4Sale Kiwanja cha makazi kinauzwa maeneo ya Chanika Mwisho - Dar Es Salaam

    Inategemea na ukubwa wa banda mkuu kuna mabanda ya kuku yanaweza kuchukua hata heka mbili
  9. G

    Plot4Sale Kiwanja cha makazi kinauzwa maeneo ya Chanika Mwisho - Dar Es Salaam

    Pata kiwanja kwa bei ya jioni ya 950,000/= chanika kumenogaaa
  10. G

    Plot4Sale Kiwanja cha makazi kinauzwa maeneo ya Chanika Mwisho - Dar Es Salaam

    Haya haya wikiendi ndo hii, kama ukifika chanika mwisho Leo jumapili utapelekwa kwenda kukiona kiwanja bureeeee kabisa
  11. G

    Plot4Sale Kiwanja cha makazi kinauzwa maeneo ya Chanika Mwisho - Dar Es Salaam

    Eneo: Chanika mwisho mtaa wa zogoali kwa wambili. Bei: Tsh. 950,000/= Umeme Upo na maji visima vipo karibu Ukubwa : mita 13/13 au miguu 18 kwa 18 Hakuna Dalalii Piga namba 0627864823 Huduma za kijamii kama shule na zahanati zipo karibu. DEAL DONE!
Back
Top Bottom