Nachukizwa sana na watu waliokaa kichamachama. Yaani tukio kama hili eti mtu anaropoka "poleni sana wanaccm"
Huu si upungufu wa akili za kutafakari. We unamaana gani kutoa kauli kama hiyo? Au unamaanisha marehem alikua kiongozi wa ccm? Tubadilike tuwe kama Watanzania sio kuwa kama Wanaccm na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.