Aisee iyo ni changamoto nyingi za mafundi hawajui wajibu wao kwa mda mhafak kiukwe kama mm na team yangu ni bola ukafanyie huko nje mbali kuliko sehem alipo kuleta mteja inakuwa sio heshima kiukweli mbak hata tusio na mambo hayo tunajumuishwa aisee
kwa wale wanao sumbuliwa na fangas za kuta tuna rekebisha kitaaram na pia kuta zilizo na mabonde mawimbi mikwaluzo tuna rekebisha na kuwa nyoofu na smooth kabisha kwa mawasiliano zaidi wasiliana nami kupitia
0718884670 mikoa yote tunafanya kazi na bei zetu ni rafiki kulingana na mahitaji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.