Natafuta hospitali ambyo inatoa huduma bora ktk vipomo na matibabu ya magonjwa ya kifua, mfumo wa upumuaji hasa Pneumonia, TB na matatizo ya mwili nzima lakini ni hapa Dar.
Members naona wengi wamekuwa wakichanganywa na maelezo ya mara kwa mara yaani post nyingi halafu kila moja inaelezea hali tofauti niliyonayo.
Nimeona niweke full mkanda:
Nilipelekwa hospital nilikiwa sijitambui kwa case ya kupata pumzi yaani kuhema sana pumzi fupi fupi na hewa yaani shida...
Jamani nimepewa dawa za TB lakini sikupimwa chochote hata kikohozi kwa sababu nilikuwa sikohoi na sijawah kukohoa ni sijapma TB, baada ya kuwa na hali mbali kwenye mfumo wa upumuaj nipo poa sasa baada ya kutumia machines na dawa.
Sasa najiuliza sina dalili za TB sikohoi kabisa nilikuwa nakohoa...
Nipo naumwa jamani sasa katika swala la lishe naona napata changamoto sana vidonda vinanipa shida sana ndani ya mdomo na ulimi. Nimejaribu kutumia vitamin B complex lakini naona dozi inaishia haviponi
Anayejua dawa nzuri ya hiki kitu msaada
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamani nina maumivu makali sana tena sana kwenye uti wa mgongo na leo ndio siku y 6 tu tangu nianze dozi za TB
Naombeni ushauri hii ndio TB tu au kuna tatizo jingne maana Daktari amenijibu endelea na dawa tu ila nateseka nimelala kitandani napata maumivu makali kwenye uti wa mgongo. Msaada...
Me cjawah kuubahatisha hata robo saa mchana npo macho usiku npo macho npo na doz za TB mfumo w upumuaj unaleta shida
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.