Ngoja nikwambie kitu kuhusu kijana wa leo wa kitanzania.
Vijana hatulali, vijana tunawajibika kufikia malengo yetu;
Kila kijana ana ile ndoto kubwa anayoitamani kuifikia, na katika harakati za kuifikia ndoto hiyo kijana hukumbana na changamoto nyingi sana, Sitozisema hapa, sababu kila kijana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.