Kutokana na kupungua kwa rutuba kwenye udongo imesababisha upotevu wa madini mbalimbali ambayo ni muhimu katika ukuaji na afya ya mmea mfano wa madini hayo ni fosfeti, naitrojeni, chuma, potasiamu, fosforusi na kalsium, hali hii imepelekea uzalishaji wa mazao ya biashara na kilimo kuwa duni na...
SoC 2022 - Njia/Mbinu za molekuli ya baiolojia ni kiboko ya majanga ya Dunia mfano Ugonjwa wa virusi vya korona. Ni muhimu katika Sekta ya Afya nchini...
Je, unahitaji kujua kwa undani nini kifanyike Ili kukuza sayansi na teknolojia nchini usipitwe ndugu mwana JF naomba pia unisaidie kunipigia kura mwishon mwa andiko hili, Mungu akubariki 🙏🏼
Sayansi ni maarifa yapatikanayo kwa kufanya vitendo Ili kudhibitisha habari au jambo fulani. Tanzania...
Afya ni inajumuisha utimamu wa kiakili, kimwili na ustawi wa jamii, na ni nyenzo muhimu kuhakikisha uwepo wa nguvu kazi itakayosaidia katika maendeleo au mapinduzi ta kiuchumi. Nchini Tanzania sekta ya Afya inakumbwa na changamoto mbalimbali ikiwemo ukosefu wa vifaa tiba na wataalamu katika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.