Salam Wakuu,
Ninanunua magari yaliyopata ajali na yale yaliyolipwa insurance baada ya kupata ajali.
Yawe katika mikoa ya Dar es salaam na Arusha.
Preference ni kwa gari aina za Toyota.
Eg. Toyota Rav4,Corolla,GX 110,GX 100,premio,noah,prado na pia Suzuki Vitara etc.
Ukipenda tufanye...