Habari.
Hii ni kwavijana na wapambanaji wenzangu. Hizo picha happy juu Ni safari ya mafanikio ya maisha yangu.
Mimi Ni kijana niliye zaliwa kwenye familia masikini, nikasoma katika shule za selikari kwa shida sana.
Hatabaada ya kumaliza masomo, sijawai pata kazi ya kuajiriwa. Nimelelewa na...
Happy ndipo nilipo anzia kabla sijaenda chuo. Hicho kibanda niyo ilikuwa mtaji wa kupamba.
Asantee mkuu. Hicho kibanda ndiko niliko anziakazi now ninaofisi kubwa kuliko hicho kibanda
Habari, hi ni stori ya kweli inayo nihusu Mimi mwenyewe.
Nimeguswa kushea na wanajamii Forums, ili kuwatia moyo vijana na watu wengine ambao wanapambana kutoka kimaisha.
Kama Mtanzania wa kawaida nilizaliwa katika familia ya kipato cha chini sana. Nikiwa mtoto wa tatu kati ya watoto sita (kila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.