Sidhani kama kulizungumzia ni kosa ila naisi ni Ile Hali tuu ya kutokuelewa, hatari ya janga hili. Ni Bora tuliongelee vizaz vyetu vikajua KULIKO tusiongelee then tukawakuta wameshaanguka.
VIJANA, USHOGA NA USAGAJI. (HOMOSEXUALITY ADDICTIONS)
Hapo zamani vitendo vya ushoga na usagaji (LGBT) katika jamii za Kiafrika ilikuwa ni aibu na laana kufanya vitendo hivyo kwa kuzingatia misingi ya kitamaduni na imani zetu za kidini. Hali iliyofanya vijana wengi hata wazazi kuogopa kuongelea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.