hakuna mtu hathaminiwi katika hii nchi kama mtumishi wa umma na hii imesababisha hata utendaji mbovu kwenye sekta ya umma na wanufaika wa sekta ya umma watabaki kulia kila kukicha mpaka serikali itakapothamini hawa watu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.