Kiwanja kinauzwa kiluvya kwa Komba
Umbali wake ni mwendo wa kutembea kwa mguu kutoka morogoro road
Bei milioni 7 na nusu tu
Ukubwa MITA 22 kwa 23
Kiwanja kina matofali,umeme na maji ya dawasco yapo
0675 065906
Hekari 1.5 inauzwa kiluvya gogoni milion 250 ipo mita 400 kutoka lami Morogoro road
■Huduma zote za kijamii zipo kama umeme na maji
■Kuna kiwanda cha tofari kinafanya kazi hapo
■Hati ya mauziano ni hati ya wizara title deed
■Panafaa kwa apartment nyumba za kupangisha au lodge na hotel
0675...
Shamba Heka Mbili Na Nusu Limeshuka Bei Kutoka Million 10 Mpaka Milioni 8 tu Lipo Kibaha Madafu
Mmiliki anachangamoto ya mgonjwa Mwenye Uhitaji Wa Shamba Aje Chap Tuongee Biashara, Shamba Liko Umbali Wa Kilomita 6 Kutoka Morogoro Road,
0675 065906
KIWANJA KIZURI SANA KINAUZWA MBEZI MWISHO MAKUTI
BEI NI MILION 13 TU
■■UKUBWA WA KIWANJA MITA 20 KWA 20
■■UMEME NA MAJI YAPO SITE
■■VIMEPIMWA NA KURASIMISHWA KWA MAKAZI BORA
0675 065906
KIWANJA KINAUZWA KIMARA BUCHA
NI KIMARA BUCHA UMBALI WA DAKIKA 12 KWA MIGUU KUTOKA MOROGOROROAD
.
KIWANJA KINAUKUBWA WA EKARI 1
BEI NI 150ML MAONGEZI YAPO
0675 065906
A/Kiwanja Kibaha Maili moja(Pangani)
Eneo lina sqm 976
Plot 155
Kina hati miliki
Bei million 13
0675 065906
B/Kiwanja kipo Kibaha Msufini
Kiwanja kina Heka 2.5
Lipo umbali wa mita 100 kutoka morogoro road
Bei mln 150
0675 065906
NYUMBA NZURI SANA INAUZWA MBEZI MWISHO KWEMBE RUGURUNI - DAR ES SALAM. ( MILLION MIL 48)
Mawasiliano: 0675 065906
Ina Vyumba Vitatu Kimoja Master, Dinning, Sitting, Kitchen&Public Toilet
Umiliki: (Eneo Limerasimishwa Tayari Hati Inatoka Kwa Jina La Mnunuzi)
Ukubwa Wa Eneo: SQM 600
Maji Ya...
TAJIRI NAAM ILI JUMBA LA KIFAHARI LINAUZWA LIPO MBWENI JKT, JUMBA KUBWA LA GHOLOFA 1
INA VYUMBA V4 VYOTE NI MASTER BADROOMS, NYUMA KUNA BOY COTER INA VYUMBA V5 VYOTE NI MASTER BEDROOMS, KUNA SWIMING POOL KUBWA,
UKUBWA WA UWANJA NI SQM-2000, INA TITLE DID YAANI INA HATI
INAUZWA DOLA MILION 3$...
NYUMBA ZINAUZWA MBEZI MWISHO KARIBU NA STENDI YA MAGUFURI ZINA WAPANGAJI
ENEO LA NYUMBA NI SQM 1600
BEI YAKE NI MLN 70 TU.
■■Kiwanja kina hati
■■Huduma zote za kijamii zipo kama umeme na maji
■■Kilometres 2 kutoka stand ya mabasi Magufuli
■■
■■Piga 0675 065906
Eneo linauzwa Kibaha Madafu
Njia ya lami kwenda viwandani
Umbali km 5 kutoka morogoro road
Ukubwa wa Eneo Ekari 2.5
Lipo sehemu nzuri lipo kwenye ramani ya mipango miji
gari inafika mpaka site
Bei mln 10 lote,maongezi kidogo yapo
0675 065906
Eneo lenye ukubwa wa hekari 3 kasorobo linauzwa. Lipo Mbezi Mwisho Dar. Lipo umbali wa m200 toka barabarani. Linafaa kwa ujenzi wa makazi,apartments,hotel,hospitali na shule. Lina nyumba 6 ndani yake na ukumbi wa ku accommodate watu 150-200. Hati za umiliki zipo.Bei yake 1.5 billion Tsh...
Eneo linauzwa Mbezi Luguruni jirani na St. Joseph University. Eneo lina ukubwa wa hekari 1.7. Linafaa kwa makazi,apartments,hostel,hotel nk. Lipo umbali wa m150 toka barabarani. Bei yake ni 350million Tsh. Hati za umiliki zipo. Kupelekwa kuona 30k. Call 0675 065906
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.