nilikuwa bize sana na kazi. kwaiyo sikuwahi kumwambia mtu. Pia sijamwambia dalali yeyote, ndio maana kimekaa muda wote huo. Ni maamuzi ndio yamenijia jana eti nitangaze huku JF. Haina shida lakini naweza kukitumia kama Guest House nikiwa na mchepuko
Habari! Kuna chumba kinapangishwa maeneo ya Buguruni kwa Mnyamani. Chumba hicho nilimpangia dada angu ambaye alikuwa anatoka mkoani kuja Dar, lakini kwa bahati mbaya akapata majukumu mengine huko mkoani ivyo hawezi kuja tena.
Chumba kimekaa miezi miwili sasa bila mtu. Nililipia kabisa miezi 4...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.