Recent content by DrMatelephone

  1. DrMatelephone

    Phone4Sale Wewe Ni Tigo Agent? Unatafuta Simu Yenye OTG?

    Kama unavyojua, Ili uweze kutumia application ya Tigo Agent unahitaji OTG. Na OTG zipo kwenye simu chache tu. Kwenye simu nyingine inabidi upoteze muda wako ku-donwload OTG kwanza ndio Iweze kufanya kazi. Sasa kama hutaki kupoteza huo muda. Na unatafuta simu inayokuja na OTG moja kwa moja...
  2. DrMatelephone

    Ni Kweli Simu Nyingi Kariakoo Feki. Lakini Siyo Hii...

    Mwambie aende service center China Plaza, kariakoo kwa msaada wa haraka zaidi
  3. DrMatelephone

    Ni Kweli Simu Nyingi Kariakoo Feki. Lakini Siyo Hii...

    Pole sana ndugu kwa kupoteza your vivo. Unaweza ukanunua nyingine. Contact zanhu ziko hapo juu.
  4. DrMatelephone

    Ni Kweli Simu Nyingi Kariakoo Feki. Lakini Siyo Hii...

    Soma tena vizuri. Simu yenye 4030 mAh ni Y91C tu. Nyingine zote zina 5000 mAh. Y11, Y12, Y15. Hizi zote zina 5000 mAh.
  5. DrMatelephone

    Ni Kweli Simu Nyingi Kariakoo Feki. Lakini Siyo Hii...

    Ukitembea kariakoo utakuatana na wauzaji wa kila aina. Na wengi wao sio watu wazuri kabisa. Wanakuuzia simu kwa kutumia mbinu zote za ushawishi. Ndani miezi miwili simu imeharibika. Na ukitaka ubadilishiwe au urudushiwe hela yako. Wanakataa. Kama hutaki kukutana na huu usumbufu. Au labda...
Back
Top Bottom