Ninauza kiwanja million 22 nafungua majadiliano kwenye bei.
Kiwanja ni kikubwa kipo mtaa wa Kahama karibu na ofisi kuu za WILAYANI ILEMELA.
Urefu 65 na upana 60 na barabara inaingia mpaka kiwanjani. Kiwanja ni changu kimepimwa upimaji shilikishi.
Kiwanja hiki ni eneo zuri kwa SHULE, GUEST...
Ni kikubwa kama ukionavyo na eneo limeisha jengeka lote kimebakia chenyewe tu ila usiogope Sana bei. Unaweza kuongea ulichonacho na tutajadiliana kama kuna uwezekano.
Asante.
Ninauza kiwanja Million 10 nafungua majadiliano kwenye bei.
Kiwanja ni kikubwa kipo Kisesa eneo la Mwandulu. Urefu 42 na upana 36.
Kiwanja ni changu kimepimwa, upimaji shirikishi.
Kiwanja kimebakia katikati pekee, hakijajengwa majirani wote wamejenga tayari.
Kwa maelezo zaidi namba yangu ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.