Nenda kariakoo , mtaa wa uhuru, opposite na shule ya Benjamin mkapa Kuna maduka ya simu kule. , ingia ndani ya maduka , usiwape wale mafundi wanaoka mezani nje . Bei ya kioo namba Moja ni 180,000 bei ya kioo namba mbili ni 90,000 hadi 100,000
Wizi mwingi siku hizi ni wa madirishani. Wezi wanabanjua madirisha ya aluminum, hata kama Umefunga wanaweza kuyafungua.
Hizi alarm utakapoweka dirishani, mwizi akijaribu kufungua dirisha alarm itapiga kelele tu. Hapo mwizi hawezi kubaki
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.