Recent content by Dawson Muntara

  1. D

    JamiiForums Tanzania Ugonjwa wa akili kwa watoto

    Ujue ugonjwa wa afya ya akili Kwa watoto Afya ya akili ni ustawi wa kihemko, kisaikolojia na kijamii. Inathiri jinsi unavyofikiria, kudhibiti hisia na kutenda. Ugonjwa wa afya ya akili, hufafanuliwa kama mifumo au mabadiliko katika kufikiria, kuhisi au tabia ambayo inasababisha shida na kuvuruga...
  2. D

    JamiiForums Tanzania Mtoto wangu ana tabia ya kujibonda, nifanyaje ili aache?

    Jitahidi umwone mtoa Tiba Kwa vitendo ( occupational therapist) atakusaidia, ni tatizo linasaidika. Unaweza kunipigia 0755037499
  3. D

    JamiiForums Tanzania Kuchelewa hatua za ukuaji kwa mtoto

    Kuchelewa hatua za ukuaji Kwa mtoto (Delayed milestone) na ufumbuzi wake. Mtoto anapozaliwa anatakiwa kukua kimwili, kiakili, lugha na kijamii. Wengine hukua haraka au hufuata hatua za ukuaji pasipo kuchelewa ila Kuna wale ambao kutokana na sababu mbalimbali huchelewa kuendana na hatua za...
  4. D

    JamiiForums Tanzania Kuchelewa hatua za ukuaji Kwa mtoto (Delayed milestone) na ufumbuzi wake. Mtoto anapozaliwa anatakiwa kukua kimwili, kiakili, lugha na kijamii

    Kuchelewa hatua za ukuaji Kwa mtoto (Delayed milestone) na ufumbuzi wake. Mtoto anapozaliwa anatakiwa kukua kimwili, kiakili, lugha na kijamii. Wengine hukua haraka au hufuata hatua za ukuaji pasipo kuchelewa ila Kuna wale ambao kutokana na sababu mbalimbali huchelewa kuendana na hatua za...
Back
Top Bottom