Habari,
Nina Godoro langu nilinunua kwa ajiri ya mdogo wangu ila akawa amepata kazi nje ya dar kabla hajalitumia. Godoro ni Tanfoam 5x 6 lenye box ni nchi 10.
ni jipya kabsa halijalaliwa hata siku moja. naliuza kwa bei ya hasara ya laki 3 tu. (300000)
pia kuna mtungi mdogo wa oryx gesi pia ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.