Recent content by Dausi

  1. Dausi

    Nauza Godoro la Tanfoam nchi 10

    Habari, Nina Godoro langu nilinunua kwa ajiri ya mdogo wangu ila akawa amepata kazi nje ya dar kabla hajalitumia. Godoro ni Tanfoam 5x 6 lenye box ni nchi 10. ni jipya kabsa halijalaliwa hata siku moja. naliuza kwa bei ya hasara ya laki 3 tu. (300000) pia kuna mtungi mdogo wa oryx gesi pia ni...
Back
Top Bottom