Mahali: Mbezibeach - Kwazena
Kodi ya Mwezi: Tshs 800,000
Apartment yenye fanicha ndani, ina Chumba Kimoja cha kulala ambacho ni Masta, Sebule, Jiko na Choo cha wageni
Ina: Fensi na geti, Maji ya bomba/dawasa 24hrs, Umeme Luku yake.
Gharama za Maji na Ulinzi, zimejumuhishwa kwenye Kodi...